Tanzania
ATD Tanzania inafanya kazi katika maeneo matatu ya Dar es Salaam: Soko la Samaki Magogoni, machimbo ya mawe karibu naTegeta, Boko na Tandale.
Timu yetu inafahamika sana katika jamii hizo kwa sababu ya kujenga mahusiano nao ya muda mrefu, kwa kuzingatia uaminifu na ushirikiano wa kweli. Shughuli za pamoja kama vile madarasa ya elimu ya watu wazima, usajili wa vyeti vya kuzaliwa, kusaidia watoto kuhudhuria shule, kushirikiana ujuzi na wazazi vijana, akina mama na maktaba ya mtaa na shughuli na kundi la vijana. Kila mwaka upangwa tukio la kuadhimisha Oktoba 17, Siku ya Kimataifa ya kutokomeza umaskini.
ATD Dunia ya Nne imekuwa NGO iliyosajiliwa kufanya kazi katika Tanzania tangu mwaka 1999.
unaweza kupokea jarida letu kwa njia ya posta au barua pepe tafadhali wasiliana na.
Maelezo ya kuwasiliana
Suala la Kupambana NA Umaskini Uliokithiri Halina Mwisho NI Suala la Kila Siku Kwa Kisangani
Ujio wa wanachama wa ATD Dunia ya Nne hapa Mkoani Njombe, Awali ya yote Kikundi cha Kisanga Smith Group Youth (…) Read more
Jarida la kwanza la mwaka 2021
Wapendwa marafiki wa ATD Dunia ya nne, ni matumaini yetu kuwa mpo salama huku mukiendelea na shughuli za kila siku (…) Read more
Jarida la tapori: Februari – Aprili 2021
Mpendwa tapori, Unamjua ndege mvumaji? Ndege huyu mdogo pia anatambulika kwajina la nyuki-ndege mvumi, ni kwasababu ya umbile lake dogo. (…) Read more